Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa, kuanzia mwaka wa fedha 2018/19
kodi ya majengo itakuwa inalipwa hata kwa nyumba ambazo hazijamilika lakini watu wanaishi tofauti na utaratibu wa sasa ambapo, kodi hulipwa kwa nyumba
zilizokamilika tu.
KUHUSU TRA KUANZA KUKUSANYA KODI ZA NYUMBA.
Reviewed by Unknown
on
March 05, 2018
Rating: 5
No comments