List mpya ya matajiri wakubwa duniani imetoka kupitia jarida la forbes huku ikimuacha tajiri alieshikilia nafasi ya kwanza kwa muda wa miaka 18 Bill Gates akirudi nyuma na kushika nafasi ya pili. Nafasi ya kwanza kwa sasa inashikiliwa na JEFF BEZOS ambae ni mmiliki wa kampuni ya AMAZON.
BILL GATES APITWA UTAJIRI
Reviewed by Unknown
on
March 08, 2018
Rating: 5
No comments