Breaking News

BREAKING:Uchumi wetu ni mzuri – Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli amedai uchumi wa Tanzania ni mzuri na unakua kwa kasi ndio maana miradi mikubwa imeanzishwa na inatekelezwa katika kipindi hiki pamoja na kuaminiwa kukopa na Benki kuu ya Dunia.

Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Rais Magufuli amesema kuwa uchumi mzuri sio lazima mtu awe  na pesa nyingi chumbani bali ni pamoja na kuwa na ugumu katika utafutaji hela.

No comments