Breaking News

Wachezaji 24 wa Taifa stars watakaokipiga na Benin

Kikosi hicho kilichotangazwa na mwalimu Mayanga ni pamoja na magolikipa Aishi Manula, Peter Manyika na Ramadhan Kambwili.

Mabeki ni Gadiel Michael, Boniphace Maganga, Abdi Banda, Kelvin Yondani, Dickson Job, Erasto Nyoni na Nurdin Chona.

Wakati huo huo viungo waliochaguliwa ni pamoja na Himid Mao, Hamis Abdallah, Mzamiru Yasin, Raphael Daud, Simon Msuva, Shiza Kichuya, Farid Mussa, Ibrahim Ajib, Mohammed Issa na Abdul Mohammed.

Aidha washambuliaji ni Mbaraka Yusuph, Yohana Mkomola, Mbwana Samatta na Elias Maguli.

No comments