MWANADADA anayefanya poa kwenye ulimwengu wa mitindo Bongo, Nailaty John ‘Nai Model’ amemfungukia mwanamitindo mwenzake, Hamisa Mobeto na kumtaka aachane na drama zinazozidi kupamba moto kila kukicha, kati yake na msanii wa Bongo Fleva aliyezaa naye.
No comments