Breaking News

#breaking news:Mzee majuto kuibiwa

Imedhihirika kwamba Nguli filumu mzee majuto amedhurumiwa shilingi milioni 25 na campuni ya filamu.

Waziri wa saana na michezo mh Mwakyembe amesema kwamba atahaha
Kikisa mzee majuto anapata haki
Yake.

No comments